WORLD SOLUTION

WORLD SOLUTION
full

best news best news best temlates best templates best templates best news best news

Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.


EDITING BADO ZINAENDELEA.-- USIACHE KUTEMBELEA BLOG YETU ANGALAU MARA 1 KWA SIKU HAKIKA UTAKUA WA TOFAUTI.-- ENDELEA KUFURAIA BLOG YETU.
#htmlcaption1 Go UP! Pure Javascript. No jQuery. No flash. #htmlcaption2 Stay Connected

Thursday, 25 July 2013

Watu zaidi ya 75 wamekufa nchini Hispania kufuatia ajali mbaya ya treni.

Watu zaidi ya 75 wamekufa nchini Hispania kufuatia ajali mbaya ya treni kuacha njia na kupinduka.







Watu takriban 75 wamekufa na wengine zaidi ya 120 kujeruhiwa kati ya abiria 200 baada ya treni moja ya abiri kuacha njia na kuanguka kaskazini magharibi mwa Hispania.
Mabehewa yote 8 ya treni hiyo iliyokuwa ikitoka Madrid kuelekea Ferrol yameanguka  karibu na mji wa Santiago de Compostela.
Taarifa za vyombo vya habari zinasema huenda treni hiyo ilikuwa ikienda kwa mwendo kasi wa mara mbili ya kipimo chake katika eneo lenye kona.
Maafisa mjini humo hawajasema lolote kuhusiana na chanzo cha ajali hiyo huku wachambuzi wa mambo wakisema ni ajali mbaya zaidi ya treni kutokea nchini Hispania katika kipindi cha miaka 40.

Ajali kubwa ya treni kuwahi kutokea nchini humo ilikuwa mwaka 1972 wakati watu 77 walipokufa baada ya treni kuacha njia huko Andalusia eneo la kusini.

Please Give Us Your 1 Minute In Sharing This Post!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment